Zaburi 22:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,Ninadhihakiwa na wanadamu na kudharauliwa na watu.*+ 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+
6 Lakini mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,Ninadhihakiwa na wanadamu na kudharauliwa na watu.*+ 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+