Zaburi 127:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kama mishale mkononi mwa mwanamume hodari,Ndivyo walivyo watoto ambao mtu anawazaa akiwa kijana.+ 5 Mwenye furaha ni mwanamume anayelijaza podo lake watoto.+ Hawataaibishwa,Kwa maana watazungumza na maadui katika lango la jiji.
4 Kama mishale mkononi mwa mwanamume hodari,Ndivyo walivyo watoto ambao mtu anawazaa akiwa kijana.+ 5 Mwenye furaha ni mwanamume anayelijaza podo lake watoto.+ Hawataaibishwa,Kwa maana watazungumza na maadui katika lango la jiji.