Zaburi 118:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nilisukumwa kwa nguvu* ili nianguke,Lakini Yehova alinisaidia. Zaburi 125:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Fimbo ya ufalme ya uovu haitadumu katika nchi waliyogawiwa waadilifu,+Ili waadilifu wasije wakatenda* jambo baya.+
3 Fimbo ya ufalme ya uovu haitadumu katika nchi waliyogawiwa waadilifu,+Ili waadilifu wasije wakatenda* jambo baya.+