Ezra 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumeokoka na kubaki mpaka leo. Sasa tumesimama mbele zako tukiwa na hatia, kwa maana hatuwezi kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+ Nehemia 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+
15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumeokoka na kubaki mpaka leo. Sasa tumesimama mbele zako tukiwa na hatia, kwa maana hatuwezi kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+
33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+