Zaburi 130:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+Naye ana nguvu nyingi za kukomboa. Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea* Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+Naye ana nguvu nyingi za kukomboa.
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea* Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+