Zaburi 113:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 113 Msifuni Yah!* Msifuni, enyi watumishi wa Yehova,Lisifuni jina la Yehova. Ufunuo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Endeleeni kumsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake+ mnaomwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+
5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Endeleeni kumsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake+ mnaomwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+