-
Yoshua 12:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Hawa ndio wafalme ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi wa Yordani, kuanzia Baal-gadi+ katika Bonde la Lebanoni+ hadi Mlima Halaki,+ unaopanda hadi Seiri,+ halafu Yoshua akayapa makabila ya Israeli nchi yao ili waimiliki na kugawana kulingana na makabila yao,+ 8 katika eneo lenye milima, Shefela, Araba, kwenye miteremko, nyikani, na katika Negebu+—nchi ya Wahiti, Waamori,+ Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi:+
-