Ayubu 38:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ni nani aliyeweka hekima mawinguni*+Au kuyapa uelewaji matukio ya angani?*+ Methali 3:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova aliuweka msingi wa dunia kwa hekima.+ Aliziimarisha kabisa mbingu kwa utambuzi.+ 20 Kwa ujuzi wake vilindi vya maji vilitenganishwaNa anga zenye mawingu zilidondosha umande.+
19 Yehova aliuweka msingi wa dunia kwa hekima.+ Aliziimarisha kabisa mbingu kwa utambuzi.+ 20 Kwa ujuzi wake vilindi vya maji vilitenganishwaNa anga zenye mawingu zilidondosha umande.+