Zaburi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitajilaza chini na kulala usingizi kwa amani,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya niishi kwa usalama.+ Methali 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Unapolala, hutaogopa;+Utalala, na usingizi wako utakuwa mtamu.+
8 Nitajilaza chini na kulala usingizi kwa amani,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya niishi kwa usalama.+