Zaburi 18:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yeye huniokoa kutoka kwa maadui wangu wenye hasira;Unaniinua juu ya wale wanaonishambulia;+Unaniokoa kutoka kwa mtu mkatili. Zaburi 59:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Niokoe kutoka kwa maadui wangu, Ee Mungu wangu;+Nilinde kutoka kwa wale wanaoinuka dhidi yangu.+
48 Yeye huniokoa kutoka kwa maadui wangu wenye hasira;Unaniinua juu ya wale wanaonishambulia;+Unaniokoa kutoka kwa mtu mkatili.