Zaburi 52:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Kwa nini unajigamba kuhusu matendo yako maovu, ewe mwenye nguvu?+ Upendo mshikamanifu wa Mungu unadumu mchana kutwa.+ 2 Ulimi wako, wenye makali kama wembe,+Hupanga madhara na kutunga mambo ya udanganyifu.+ Zaburi 58:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waovu wanakengeuka* tangu kuzaliwa;Ni wakaidi, waongo tangu wanapozaliwa. 4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka;+Wao ni viziwi kama swila anayeziba sikio lake.
52 Kwa nini unajigamba kuhusu matendo yako maovu, ewe mwenye nguvu?+ Upendo mshikamanifu wa Mungu unadumu mchana kutwa.+ 2 Ulimi wako, wenye makali kama wembe,+Hupanga madhara na kutunga mambo ya udanganyifu.+
3 Waovu wanakengeuka* tangu kuzaliwa;Ni wakaidi, waongo tangu wanapozaliwa. 4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka;+Wao ni viziwi kama swila anayeziba sikio lake.