2 Samweli 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha Daudi akaambiwa hivi: “Ahithofeli ni miongoni mwa watu wanaopanga njama+ pamoja na Absalomu.”+ Daudi akasema: “Ee Yehova,+ tafadhali badili ushauri wa Ahithofeli uwe upumbavu!”+ Zaburi 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usinitie mikononi mwa maadui wangu,+Kwa maana mashahidi wa uwongo wameinuka dhidi yangu,+Nao wanatoa vitisho vya kunitendea kwa ukatili.
31 Kisha Daudi akaambiwa hivi: “Ahithofeli ni miongoni mwa watu wanaopanga njama+ pamoja na Absalomu.”+ Daudi akasema: “Ee Yehova,+ tafadhali badili ushauri wa Ahithofeli uwe upumbavu!”+
12 Usinitie mikononi mwa maadui wangu,+Kwa maana mashahidi wa uwongo wameinuka dhidi yangu,+Nao wanatoa vitisho vya kunitendea kwa ukatili.