2 Samweli 22:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;Akanishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+ 18 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi. Zaburi 18:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;Alinishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+ 17 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.+ Zaburi 54:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wageni wanainuka dhidi yangu,Na wanaume wakatili wanatafuta uhai wangu.*+ Hawamheshimu Mungu.*+ (Sela)
17 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;Akanishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+ 18 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
16 Aliunyoosha mkono wake kutoka juu;Alinishika na kunivuta kutoka katika maji yenye kina.+ 17 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia, waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.+
3 Kwa maana wageni wanainuka dhidi yangu,Na wanaume wakatili wanatafuta uhai wangu.*+ Hawamheshimu Mungu.*+ (Sela)