Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+

  • Kutoka 31:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ni lazima Waisraeli washike Sabato; ni lazima waadhimishe Sabato katika vizazi vyao vyote. Ni agano la kudumu. 17 Ni ishara ya kudumu kati yangu na Waisraeli,+ kwa sababu katika siku sita mimi, Yehova, niliziumba mbingu na dunia na katika siku ya saba nilipumzika na kustarehe.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ni taifa gani kubwa ambalo lina masharti ya uadilifu na sheria* kama Sheria hii yote ninayoweka mbele yenu leo?+

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kuna taifa gani lingine duniani lililo kama watu wako Waisraeli?+ Wewe Mungu wa kweli ulienda na kuwakomboa wakiwa watu wako.+ Ulijijengea jina kwa matendo yako makuu na yenye kuogopesha,+ ukayafukuza mataifa kutoka mbele ya watu wako+ uliowakomboa kutoka Misri.

  • Waroma 3:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi, Myahudi ana ubora gani, au kutahiriwa kuna faida gani? 2 Ni nyingi katika kila njia. Kwanza kabisa, wao walikabidhiwa maneno matakatifu ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki