35 Yehova,
Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,
Sheria za mwezi na nyota ili ziangaze usiku,
Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,
Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+
36 “‘Ikiwa sheria hizo zitakoma,’ asema Yehova,
‘Basi uzao wa Israeli utakoma daima kuwa taifa mbele zangu.’”+