Kutoka 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo Musa akainyoosha fimbo yake kuelekea mbinguni, na Yehova akaleta ngurumo na mvua ya mawe, na moto* ukashuka duniani, na Yehova akafanya mvua ya mawe iendelee kunyesha juu ya nchi ya Misri. Zaburi 107:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Jinsi dhoruba ya upepo inavyoinuka kwa neno lake,+Na kuyainua mawimbi ya bahari. Isaya 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiweNaye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+
23 Kwa hiyo Musa akainyoosha fimbo yake kuelekea mbinguni, na Yehova akaleta ngurumo na mvua ya mawe, na moto* ukashuka duniani, na Yehova akafanya mvua ya mawe iendelee kunyesha juu ya nchi ya Misri.
30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiweNaye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+