Zaburi 132:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Makuhani wake nitawavisha wokovu,+Na washikamanifu wake watapaza sauti kwa shangwe.+ Isaya 61:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nitashangilia sana katika Yehova. Nafsi yangu yote itashangilia katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivisha mavazi ya wokovu;+Amenifunika kwa joho* la uadilifu,Kama bwana harusi anayevaa kilemba kama cha kuhani,+Na kama bibi harusi anayejipamba kwa mapambo yake.
10 Nitashangilia sana katika Yehova. Nafsi yangu yote itashangilia katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivisha mavazi ya wokovu;+Amenifunika kwa joho* la uadilifu,Kama bwana harusi anayevaa kilemba kama cha kuhani,+Na kama bibi harusi anayejipamba kwa mapambo yake.