Zaburi 107:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Watu na wamshukuru Yehova kwa sababu ya upendo wake mshikamanifu+Na kwa sababu ya kazi zake zinazostaajabisha anazowatendea wanadamu. Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
15 Watu na wamshukuru Yehova kwa sababu ya upendo wake mshikamanifu+Na kwa sababu ya kazi zake zinazostaajabisha anazowatendea wanadamu.
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+