12 “Sasa, enyi Waisraeli, Yehova Mungu wenu anataka mfanye nini?+ Hili tu ndilo analotaka: mmwogope Yehova Mungu wenu,+ mtembee katika njia zake zote,+ mumpende, na kumtumikia Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+
16 Wakati huo wale wanaomwogopa Yehova walizungumza kila mmoja na mwenzake, na Yehova akaendelea kuwakazia uangalifu na kusikiliza. Na kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa mbele zake+ kwa ajili ya wale wanaomwogopa Yehova na wale wanaolitafakari* jina lake.+