Zaburi 63:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini mfalme atashangilia kwa sababu ya Mungu. Kila mtu anayeapa katika jina la Mungu atashangilia,*Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitanyamazishwa.
11 Lakini mfalme atashangilia kwa sababu ya Mungu. Kila mtu anayeapa katika jina la Mungu atashangilia,*Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitanyamazishwa.