Luka 23:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye Yesu akapaza sauti na kusema: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.”+ Baada ya kusema hayo akafa.*+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.
46 Naye Yesu akapaza sauti na kusema: “Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.”+ Baada ya kusema hayo akafa.*+
7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.