13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:
“Tazama! Watumishi wangu watakula, lakini ninyi mtakuwa na njaa.+
Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.
Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+