Zaburi 55:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini mimi, nitamlilia Mungu,Na Yehova ataniokoa.+ 17 Jioni na asubuhi na adhuhuri, ninahangaika na kulia kwa uchungu,*+Naye huisikia sauti yangu.+
16 Lakini mimi, nitamlilia Mungu,Na Yehova ataniokoa.+ 17 Jioni na asubuhi na adhuhuri, ninahangaika na kulia kwa uchungu,*+Naye huisikia sauti yangu.+