Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Zaburi 77:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 77 Kwa sauti yangu nitamlilia Mungu;Nitamlilia Mungu kwa sauti kubwa, naye atanisikia.+