Zaburi 38:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ee Yehova, usinikaripie kwa hasira yako,Wala usinirekebishe kwa ghadhabu yako.+ Yeremia 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nirekebishe, Ee Yehova, kulingana na hukumu,Lakini si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+