Zaburi 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mungu wangu, ninakutumaini wewe;+Usiruhusu niaibishwe.+ Usiruhusu maadui wangu wanicheke.+ Isaya 50:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitafedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu uwe kama jiwe gumu,+Nami ninajua kwamba sitaaibika.
7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitafedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu uwe kama jiwe gumu,+Nami ninajua kwamba sitaaibika.