Waroma 4:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale ambao matendo yao ya kuasi sheria yamesamehewa na ambao dhambi zao zimefunikwa;* 8 mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova* hatahesabu dhambi yake kamwe.”+
7 “Wenye furaha ni wale ambao matendo yao ya kuasi sheria yamesamehewa na ambao dhambi zao zimefunikwa;* 8 mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova* hatahesabu dhambi yake kamwe.”+