Ayubu 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye haondoi macho yake kwa waadilifu;+Huwaketisha kwenye viti vya ufalme pamoja na wafalme,*+ nao wanakwezwa milele. Zaburi 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama! Jicho la Yehova linawalinda wale wanaomwogopa,+Wale wanaongojea upendo wake mshikamanifu,
7 Yeye haondoi macho yake kwa waadilifu;+Huwaketisha kwenye viti vya ufalme pamoja na wafalme,*+ nao wanakwezwa milele.