Zaburi 31:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini mimi nilishikwa na wasiwasi nikasema: “Nitaangamia kutoka mbele zako.”+ Lakini ulisikia sihi zangu za kuomba msaada nilipokulilia kwa sauti.+ Zaburi 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nilimtumaini Yehova kwa bidii,*Naye akanitegea sikio lake na kusikia* kilio changu cha kuomba msaada.+ Yona 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema: “Katika taabu yangu nilimlilia Yehova, naye akanijibu.+ Nikiwa ndani ya* Kaburi* nilililia msaada.+ Uliisikia sauti yangu.
22 Lakini mimi nilishikwa na wasiwasi nikasema: “Nitaangamia kutoka mbele zako.”+ Lakini ulisikia sihi zangu za kuomba msaada nilipokulilia kwa sauti.+
40 Nilimtumaini Yehova kwa bidii,*Naye akanitegea sikio lake na kusikia* kilio changu cha kuomba msaada.+
2 na kusema: “Katika taabu yangu nilimlilia Yehova, naye akanijibu.+ Nikiwa ndani ya* Kaburi* nilililia msaada.+ Uliisikia sauti yangu.