Zaburi 31:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nimesikia uvumi mwingi wa uovu;Nimezungukwa na hofu.+ Wanapokusanyika pamoja kama kitu kimoja dhidi yangu,Wanapanga njama ya kuniua.*+ Yeremia 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nilikuwa kama mwanakondoo mtulivu anayepelekwa machinjioni. Sikujua kwamba walikuwa wakipanga njama dhidi yangu:+ “Na tuuangamize ule mti na matunda yake,Na tumkate kabisa kutoka kwenye nchi ya walio hai,Ili jina lake lisikumbukwe kamwe.” Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 nao wakapanga njama pamoja+ ili kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua.
13 Nimesikia uvumi mwingi wa uovu;Nimezungukwa na hofu.+ Wanapokusanyika pamoja kama kitu kimoja dhidi yangu,Wanapanga njama ya kuniua.*+
19 Nilikuwa kama mwanakondoo mtulivu anayepelekwa machinjioni. Sikujua kwamba walikuwa wakipanga njama dhidi yangu:+ “Na tuuangamize ule mti na matunda yake,Na tumkate kabisa kutoka kwenye nchi ya walio hai,Ili jina lake lisikumbukwe kamwe.”