Zaburi 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Unihukumu, Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu;+Nimemtumaini Yehova bila kuyumbayumba.+ Zaburi 96:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja,*Anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa uaminifu wake.+
26 Unihukumu, Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu;+Nimemtumaini Yehova bila kuyumbayumba.+
13 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja,*Anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+Na mataifa kwa uaminifu wake.+