2 Samweli 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Daudi akamwambia Abishai na watumishi wake wote: “Ikiwa mwanangu mwenyewe, niliyemzaa anatafuta uhai wangu,*+ je, Mbenjamini hatafanya zaidi?+ Mwacheni anitukane, kwa maana Yehova alimwambia afanye hivyo!
11 Kisha Daudi akamwambia Abishai na watumishi wake wote: “Ikiwa mwanangu mwenyewe, niliyemzaa anatafuta uhai wangu,*+ je, Mbenjamini hatafanya zaidi?+ Mwacheni anitukane, kwa maana Yehova alimwambia afanye hivyo!