Zaburi 54:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mungu ni msaidizi wangu;+Yehova yuko pamoja na wale wanaonitegemeza. Isaya 50:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitafedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu uwe kama jiwe gumu,+Nami ninajua kwamba sitaaibika. Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+
7 Lakini Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atanisaidia.+ Ndiyo sababu sitafedheheka. Ndiyo sababu nimeufanya uso wangu uwe kama jiwe gumu,+Nami ninajua kwamba sitaaibika.