38 Naye aliyafukuza kutoka mbele yenu mataifa makubwa zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko ninyi, ili awalete ninyi katika nchi yao na kuwapa iwe urithi wenu, kama ilivyo leo.+
12 Basi nikawafanya wavunjike moyo* kabla ya ninyi kufika, nao wakakimbia+—wafalme wawili wa Waamori. Hamkuwashinda kwa sababu ya upanga wenu wala upinde wenu.+