Zaburi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Inuka katika hasira yako, Ee Yehova;Simama ukabiliane na hasira kali ya maadui wangu;+Amka kwa ajili yangu, na uamuru kwamba haki itendeke.+ Zaburi 78:65, 66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Kisha Yehova akaamka kana kwamba anatoka usingizini,+Kama mwanamume hodari+ aamkavyo baada ya divai kumtoka. 66 Naye akawakimbiza maadui wake;+Akawatia aibu ya kudumu.
6 Inuka katika hasira yako, Ee Yehova;Simama ukabiliane na hasira kali ya maadui wangu;+Amka kwa ajili yangu, na uamuru kwamba haki itendeke.+
65 Kisha Yehova akaamka kana kwamba anatoka usingizini,+Kama mwanamume hodari+ aamkavyo baada ya divai kumtoka. 66 Naye akawakimbiza maadui wake;+Akawatia aibu ya kudumu.