Yoshua 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, si mimi niliyekuamuru uwe jasiri na imara? Basi uwe jasiri na imara. Usitetemeke wala kuogopa, kwa maana mimi Yehova Mungu wako nipo pamoja nawe mahali popote utakapoenda.”+ Yeremia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao hakika watapigana nawe,Lakini hawatakushinda,Kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikuokoe.’” Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
9 Je, si mimi niliyekuamuru uwe jasiri na imara? Basi uwe jasiri na imara. Usitetemeke wala kuogopa, kwa maana mimi Yehova Mungu wako nipo pamoja nawe mahali popote utakapoenda.”+
19 Nao hakika watapigana nawe,Lakini hawatakushinda,Kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikuokoe.’”
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+