Isaya 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka. Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”
25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”