Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova anasema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake;+Mtu mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake;Na tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+ 1 Timotheo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+
23 Yehova anasema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake;+Mtu mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake;Na tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+
17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+