Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova anasema hivi:

      “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake;+

      Mtu mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake;

      Na tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+

  • 1 Timotheo 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki