Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, umefanya siku zangu ziwe chache tu;*+Na urefu wa maisha yangu kuwa si kitu mbele zako.+ Kwa hakika kila mwanadamu, ingawa anaonekana yuko salama, si kitu ila pumzi tu.+ (Sela) Yakobo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kama jua linavyochomoza pamoja na joto lake linalounguza na kufanya mmea unyauke, na ua lake lianguke na kuharibu urembo wake wa nje, vivyo hivyo pia, tajiri atanyauka katika mambo anayofuatilia.+
5 Kwa kweli, umefanya siku zangu ziwe chache tu;*+Na urefu wa maisha yangu kuwa si kitu mbele zako.+ Kwa hakika kila mwanadamu, ingawa anaonekana yuko salama, si kitu ila pumzi tu.+ (Sela)
11 Kwa maana kama jua linavyochomoza pamoja na joto lake linalounguza na kufanya mmea unyauke, na ua lake lianguke na kuharibu urembo wake wa nje, vivyo hivyo pia, tajiri atanyauka katika mambo anayofuatilia.+