26 Kisha Mungu akasema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kulingana na sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetambaa duniani.”+
9Basi Mungu akambariki Noa na wanawe na kuwaambia: “Zaeni muwe wengi na kuijaza dunia.+2 Kila kiumbe aliye hai duniani na kila kiumbe anayeruka angani na kila kiumbe anayetambaa ardhini na samaki wote wa baharini wataendelea kuwaogopa na kuwahofu ninyi. Sasa nimewatia mikononi mwenu.*+