1 Wathesalonike 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Toeni shukrani kuhusu kila jambo.+ Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu. Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+