Mwanzo 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.” Mwanzo 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kila mnyama aliye hai anayetembea anaweza kuwa chakula chenu.+ Kama nilivyowapa mimea, ninawapa hao wote wawe chakula chenu.+
28 Zaidi ya hilo, Mungu akawabariki, na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, muijaze dunia+ na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe wanaoruka angani na kila kiumbe aliye hai anayetembea duniani.”
3 Kila mnyama aliye hai anayetembea anaweza kuwa chakula chenu.+ Kama nilivyowapa mimea, ninawapa hao wote wawe chakula chenu.+