Ruthu 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa Boazi akapanda kwenda kwenye lango la jiji+ na kuketi hapo. Na tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alimtaja+ alikuwa akipita. Basi Boazi akamwita: “Fulani wa fulani, njoo, keti hapa.” Akaja na kuketi. Ayubu 29:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nilipokuwa nikienda kwenye lango la jiji+Na kuketi mahali pangu kwenye uwanja wa jiji,+ 8 Vijana waliponiona walinipisha,*Na hata wazee waliinuka na kuendelea kusimama.+
4 Sasa Boazi akapanda kwenda kwenye lango la jiji+ na kuketi hapo. Na tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alimtaja+ alikuwa akipita. Basi Boazi akamwita: “Fulani wa fulani, njoo, keti hapa.” Akaja na kuketi.
7 Nilipokuwa nikienda kwenye lango la jiji+Na kuketi mahali pangu kwenye uwanja wa jiji,+ 8 Vijana waliponiona walinipisha,*Na hata wazee waliinuka na kuendelea kusimama.+