Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 9:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehu alipofika Yezreeli,+ Yezebeli+ akasikia habari hizo. Basi akapaka macho yake wanja na kupamba nywele zake, akatazama chini kupitia dirishani.

  • Esta 1:10-12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku ya saba, moyo wa mfalme ulipokuwa umechangamka kwa sababu ya divai, akawaambia Mehumani, Biztha, Harbona,+ Bigtha, Abagtha, Zethari, na Karkasi, maofisa saba wa makao ya mfalme waliokuwa wahudumu wake binafsi, 11 wamlete Malkia Vashti mbele ya mfalme akiwa na taji la* malkia, ili awaonyeshe watu na wakuu urembo wake, kwa maana alikuwa mrembo sana. 12 Lakini Malkia Vashti akaendelea kukataa kuja, hakutii agizo la mfalme alilopewa na maofisa wa makao ya mfalme. Basi mfalme akakasirika sana, na ghadhabu yake ikawaka.

  • Methali 6:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Usiutamani urembo wake moyoni mwako+

      Wala kukubali akunase kwa macho yake yanayovutia,

      26 Kwa maana kahaba humfanya mtu abaki tu na kipande cha mkate,+

      Lakini mke wa mwanamume mwingine huuwinda uhai wenye* thamani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki