21 Kwa maana kutoka ndani, moyoni mwa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati, wizi, mauaji, 22 uzinzi, pupa, uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu, jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, na ukosefu wa akili. 23 Mambo hayo yote maovu hutoka ndani, nayo humchafua mtu.”