Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Moyo ni wenye hila* kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.*+

      Ni nani anayeweza kuujua?

  • Marko 7:21-23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana kutoka ndani, moyoni mwa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,* wizi, mauaji, 22 uzinzi, pupa, uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu,* jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, na ukosefu wa akili. 23 Mambo hayo yote maovu hutoka ndani, nayo humchafua mtu.”

  • Waefeso 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, simameni imara, mkiwa mmejifunga kiunoni mshipi wa ile kweli,+ mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki