5 “Mwanamume aliyeoa karibuni hapaswi kutumikia jeshini wala kupewa majukumu mengine yoyote. Anapaswa kuwa huru kwa mwaka mmoja na kubaki nyumbani ili amfurahishe mke wake.+
9 Furahia maisha pamoja na mke wako mpendwa+ sikuzote za maisha yako ya ubatili, ambazo Mungu amekupa chini ya jua, sikuzote za ubatili wako, kwa maana hilo ndilo fungu lako maishani na katika kazi yako ngumu unayofanya kwa jasho chini ya jua.+