Mwanzo 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya muda kupita, Abimeleki mfalme wa Wafilisti alikuwa akiangalia nje dirishani, akamwona Isaka akimwonyesha mahaba* Rebeka mke wake.+ Mwanzo 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka saba ili ampate Raheli,+ lakini machoni pake miaka hiyo ilikuwa kama siku chache tu kwa sababu ya upendo aliokuwa nao kwa Raheli. Wimbo wa Sulemani 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Niweke kama muhuri juu ya moyo wako,Kama muhuri juu ya mkono wako,Kwa maana upendo una nguvu kama kifo,+Na kama Kaburi,* ujitoaji kamili haukubali kushindwa. Miale yake ni moto mkali, mwali wa Yah.*+
8 Baada ya muda kupita, Abimeleki mfalme wa Wafilisti alikuwa akiangalia nje dirishani, akamwona Isaka akimwonyesha mahaba* Rebeka mke wake.+
20 Basi Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka saba ili ampate Raheli,+ lakini machoni pake miaka hiyo ilikuwa kama siku chache tu kwa sababu ya upendo aliokuwa nao kwa Raheli.
6 Niweke kama muhuri juu ya moyo wako,Kama muhuri juu ya mkono wako,Kwa maana upendo una nguvu kama kifo,+Na kama Kaburi,* ujitoaji kamili haukubali kushindwa. Miale yake ni moto mkali, mwali wa Yah.*+