13 Mvivu anasema: “Kuna mwanasimba barabarani,
Kuna simba katika uwanja wa jiji!”+
14 Mlango huzunguka-zunguka katika bawaba zake,
Na mvivu hugeuka-geuka kitandani mwake.+
15 Mvivu huutumbukiza mkono wake katika bakuli la karamu,
Lakini amechoka sana kuurudisha kinywani mwake.+