19 Punde tu bwana wa Yosefu alipomsikia mke wake akisema: “Hayo ndiyo mambo ambayo mtumishi wako alinitendea,” akawaka hasira. 20 Basi bwana wa Yosefu akamchukua Yosefu na kumtupa gerezani, mahali ambapo wafungwa wa mfalme walifungwa, akabaki humo gerezani.+