Yohana 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yesu akamjibu: “Nimezungumza na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na hekaluni,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika, nami sikusema jambo lolote kwa siri. Matendo 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 nami sikuepuka kuwaambia ninyi jambo lolote lenye faida* na kuwafundisha hadharani+ na nyumba kwa nyumba.+
20 Yesu akamjibu: “Nimezungumza na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na hekaluni,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika, nami sikusema jambo lolote kwa siri.
20 nami sikuepuka kuwaambia ninyi jambo lolote lenye faida* na kuwafundisha hadharani+ na nyumba kwa nyumba.+